49 lakini walipomwona akitembea juu ya maji, wakadhani ni mzimu. Wakapiga yowe, 50 kwa sababu wote walipomwona waliogopa.
Mara Yesu akasema nao, akawaambia, "Jipeni moyo! Ni mimi. Msiogope!"
49 lakini walipomwona akitembea juu ya maji, wakadhani ni mzimu. Wakapiga yowe, 50 kwa sababu wote walipomwona waliogopa.
Mara Yesu akasema nao, akawaambia, "Jipeni moyo! Ni mimi. Msiogope!"