Pular para o conteúdo
Publicidade

Mateus 1

Kumbukumbu Za Ukoo Wa Yesu Kristo

1 Habari za ukoo wa Yesu Kristo mwana wa Daudi, mwana wa Abrahamu:

17 Hivyo, kulikuwepo na jumla ya vizazi kumi na vinne tangu Abrahamu mpaka Daudi, vizazi kumi na vinne tangu Daudi hadi wakati wa uhamisho kwenda utumwani Babeli, na vizazi kumi na vinne tangu wakati wa uhamisho kwenda utumwani Babeli hadi Kristo.

Veja também