Publicidade

Mateus 16

Petro Amkiri Yesu Kuwa Ni Mwana Wa Mungu

13 Basi Yesu alipofika katika eneo la Kaisaria-Filipi, akawauliza wanafunzi wake, "Watu husema kwamba mimi Mwana wa Adamu ni nani?"

14 Wakamjibu, "Baadhi husema ni Yohana Mbatizaji; wengine husema ni Eliya; na bado wengine husema ni Yeremia au mmojawapo wa manabii."

15 Akawauliza, "Je, ninyi mnasema mimi ni nani?"

16 Simoni Petro akamjibu, "Wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu aliye hai."

Veja também

Publicidade
Bíblia Online Bíblia Online

Bíblia Online • Versão: 2026-06-28_14-13-17-