21 Ndipo Petro akamjia Yesu na kumuuliza, "Bwana, ndugu yangu anikosee mara ngapi nami nimsamehe? Je, hata mara saba?"
22 Yesu akamjibu, "Sikuambii hata mara saba, bali hata saba mara sabini.
21 Ndipo Petro akamjia Yesu na kumuuliza, "Bwana, ndugu yangu anikosee mara ngapi nami nimsamehe? Je, hata mara saba?"
22 Yesu akamjibu, "Sikuambii hata mara saba, bali hata saba mara sabini.