Pular para o conteúdo
Publicidade

Mathayo 21

9 Ule umati wa watu uliomtangulia na ule uliomfuata ukapiga kelele ukisema,

"Hosana,21:9 Kiebrania kusema Okoa, basi likawa neno la shangwe. Mwana wa Daudi!"

"Amebarikiwa yeye ajaye kwa Jina la Bwana!"

"Hosana juu mbinguni!"

Estes versículos te tocaram? Ore agora!

+581 estão orando agora.

Junte-se à corrente de oração.

Veja também