36 "Mwalimu, ni amri ipi katika Sheria iliyo kuu kuliko zote?"
37 Yesu akamjibu, " ‘Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa roho yako yote na kwa akili zako zote.’ 38 Hii ndiyo amri iliyo kuu, tena ni ya kwanza.
36 "Mwalimu, ni amri ipi katika Sheria iliyo kuu kuliko zote?"
37 Yesu akamjibu, " ‘Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa roho yako yote na kwa akili zako zote.’ 38 Hii ndiyo amri iliyo kuu, tena ni ya kwanza.