28 Wakamvua nguo zake na kumvika vazi la rangi nyekundu, kisha 29 wakasokota taji ya miiba, wakaiweka kichwani pake. Wakamwekea fimbo katika mkono wake wa kuume, na wakapiga magoti mbele zake na kumdhihaki, wakisema, "Salamu, mfalme wa Wayahudi!"
Publicidade
Publicidade