Publicidade

Mateus 27

3 Yuda, ambaye alikuwa amemsaliti Yesu, alipoona kuwa Yesu amehukumiwa, akajuta na akarudisha vile vipande thelathini vya fedha alivyopewa na viongozi wa makuhani na wazee wa watu. 4 Akasema, "Nimetenda dhambi, kwa maana nimeisaliti damu isiyo na hatia."

Wakamjibu, "Hilo latuhusu nini sisi? Ni shauri yako."

Veja também

Publicidade
Bíblia Online Bíblia Online

Bíblia Online • Versão: 2026-06-19_11-20-24-