Pular para o conteúdo
Publicidade

Mathayo 4

Yesu Awaita Wanafunzi Wake Wa Kwanza

18 Yesu alipokuwa anatembea kando ya Bahari ya Galilaya, aliwaona ndugu wawili, Simoni aitwaye Petro, na Andrea ndugu yake. Walikuwa wakizitupa nyavu zao baharini kwa kuwa wao walikuwa wavuvi. 19 Yesu akawaambia, "Njooni, nifuateni nami nitawafanya mwe wavuvi wa watu."

Estes versículos te tocaram? Ore agora!

+581 estão orando agora.

Junte-se à corrente de oração.

Veja também