Publicidade

Mateus 8

2 Mtu mmoja mwenye ukoma akaja na kupiga magoti mbele yake, akasema, "Bwana, kama ukitaka, unaweza kunitakasa."

3 Yesu akanyoosha mkono wake akamgusa yule mtu, akamwambia, "Nataka. Takasika!" Mara yule mtu akatakasika ukoma wake. 4 Kisha Yesu akamwambia, "Hakikisha humwambii mtu yeyote. Lakini nenda ukajionyeshe kwa kuhani, na utoe sadaka aliyoamuru Mose, ili kuwa ushuhuda kwao."

Veja também

Bíblia Online Bíblia Online

Bíblia Online • Versão: 2026-07-05_19-25-13-