Pular para o conteúdo
Publicidade

Mithali 2

6 Kwa maana Bwana hutoa hekima,

na kinywani mwake hutoka maarifa na ufahamu.

7 Anahifadhi ushindi kwa ajili ya mwadilifu,

yeye ni ngao kwa wale wasio na lawama,

8 kwa kuwa hulinda mwenendo wa mwenye haki

na kuhifadhi njia ya waaminifu wake.

Estes versículos te tocaram? Ore agora!

+581 estão orando agora.

Junte-se à corrente de oração.

Veja também