13 Usimnyime mtoto adhabu,
ukimwadhibu kwa fimbo, hatakufa.
14 Mwadhibu kwa fimbo
na kuiokoa nafsi yake kutoka mautini.23:14 Mautini maana yake ni Kuzimu.
13 Usimnyime mtoto adhabu,
ukimwadhibu kwa fimbo, hatakufa.
14 Mwadhibu kwa fimbo
na kuiokoa nafsi yake kutoka mautini.23:14 Mautini maana yake ni Kuzimu.