Pular para o conteúdo
Publicidade

Mithali 23

19 Sikiliza, mwanangu na uwe na hekima,

weka moyo wako kwenye njia iliyo sawa.

20 Usiwe miongoni mwa wanywao mvinyo,

au wale walao nyama kwa pupa,

21 kwa maana walevi na walafi huwa maskini,

nako kusinzia huwavika matambara.

22 Msikilize baba yako, aliyekuzaa,

wala usimdharau mama yako atakapokuwa mzee.

Estes versículos te tocaram? Ore agora!

+581 estão orando agora.

Junte-se à corrente de oração.

Veja também