31 Usimwonee wivu mtu mwenye jeuri
wala kuchagua njia yake iwayo yote,
32 kwa kuwa Bwana humchukia mtu mpotovu,
lakini siri yake iko kwa mwenye haki.
31 Usimwonee wivu mtu mwenye jeuri
wala kuchagua njia yake iwayo yote,
32 kwa kuwa Bwana humchukia mtu mpotovu,
lakini siri yake iko kwa mwenye haki.