Pular para o conteúdo
Publicidade

Mithali 31

25 Amevikwa nguvu na heshima,

anaweza kucheka bila kuwa na hofu kwa siku zijazo.

26 Huzungumza kwa hekima

na mafundisho ya kuaminika yapo ulimini mwake.

27 Huangalia mambo ya nyumbani mwake

wala hali chakula cha uvivu.

28 Watoto wake huamka na kumwita aliyebarikiwa,

mumewe pia humsifu, akisema:

29 "Wanawake wengi hufanya vitu vyenye sifa nzuri,

lakini wewe umewapita wote."

30 Kujipamba ili kuvutia ni udanganyifu na uzuri unapita upesi,

bali mwanamke anayemcha Bwana atasifiwa.

Estes versículos te tocaram? Ore agora!

+581 estão orando agora.

Junte-se à corrente de oração.

Veja também