Pular para o conteúdo
Publicidade

Mithali 6

16 Kuna vitu sita anavyovichukia Bwana,

naam, viko saba vilivyo chukizo kwake:

17 macho ya kiburi,

ulimi udanganyao,

mikono imwagayo damu isiyo na hatia,

18 moyo uwazao mipango miovu,

miguu iliyo myepesi kukimbilia uovu,

19 shahidi wa uongo ambaye humwaga uongo,

na mtu ambaye huchochea fitina kati ya ndugu.

Estes versículos te tocaram? Ore agora!

+581 estão orando agora.

Junte-se à corrente de oração.

Veja também