Pular para o conteúdo
Publicidade

Mithali 6

32 Lakini mwanaume aziniye na mwanamke hana akili kabisa;

yeyote afanyaye hivyo hujiangamiza mwenyewe.

33 Mapigo na aibu ni fungu lake

na aibu yake haitafutika kamwe;

34 kwa maana wivu huamsha ghadhabu ya mume,

naye hataonyesha huruma alipizapo kisasi.

35 Hatakubali fidia yoyote;

atakataa malipo, hata yakiwa makubwa kiasi gani.

Estes versículos te tocaram? Ore agora!

+581 estão orando agora.

Junte-se à corrente de oração.

Veja também