16 Katika siku hiyo watauambia Yerusalemu,
"Usiogope, ee Sayuni;
usiiache mikono yako ilegee.
17 Bwana Mungu wako yu pamoja nawe,
yeye ni mwenye nguvu kuokoa.
Atakufurahia kwa furaha kubwa,
atakutuliza kwa pendo lake,
atakufurahia kwa kuimba."
16 Katika siku hiyo watauambia Yerusalemu,
"Usiogope, ee Sayuni;
usiiache mikono yako ilegee.
17 Bwana Mungu wako yu pamoja nawe,
yeye ni mwenye nguvu kuokoa.
Atakufurahia kwa furaha kubwa,
atakutuliza kwa pendo lake,
atakufurahia kwa kuimba."