11 Lakini, katika Bwana si mwanamke pasipo mwanamume, wala mwanamume pasipo mwanamke. 12 Maana kama mwanamke alitoka katika mwanamume, vile vile mwanamume naye huzaliwa na mwanamke; na vitu vyote asili yake hutoka kwa Mungu. Hukumuni ninyi wenyewe katika nafsi zenu.
Publicidade