20 Kol 1:18;1 Kor 11:30Lakini sasa Kristo amefufuka katika wafu, limbuko lao waliolala. 21 Mwa 3:17-19;Rum 5:12,18Maana kwa kuwa mauti ililetwa na mtu, kadhalika na kiyama ya wafu ililetwa na mtu. 22 Kwa kuwa kama katika Adamu wote wanakufa, kadhalika na katika Kristo wote watahuishwa.
Publicidade