3 Isa 53:5-12Kwa maana niliwatolea ninyi hapo mwanzo yale niliyoyapokea mimi mwenyewe, ya kuwa Kristo alikufa kwa ajili ya dhambi zetu, kama yanenavyo Maandiko; 4 Zab 16:8-10;Mt 12:40;Mdo 2:24-32;2 Fal 20:5;Isa 54:7;Hos 6:2;Yon 1:17na ya kuwa alizikwa; na ya kuwa alifufuka siku ya tatu, kama yanenavyo Maandiko; 5 Mt 28:16-17;Mk 16:14;Lk 24:34,36;Yn 20:19na ya kuwa alimtokea Kefa; tena na wale Kumi na Wawili; 6 baadaye aliwatokea ndugu zaidi ya mia tano pamoja; katika hao wengi wanaishi hata sasa, ila baadhi yao wamelala;
Publicidade