Pular para o conteúdo
Publicidade

1 Pedro 2

21 Mt 16:24;Yn 13:15Kwa sababu ndio mlioitiwa; maana Kristo naye aliteswa kwa ajili yenu, akawaachia kielelezo, mfuate nyayo zake. 22 Isa 53:9;Yn 8:46;2 Kor 5:21Yeye hakutenda dhambi, wala udanganyifu haukuwapo kinywani mwake. 23 Isa 53:7Yeye alipotukanwa, hakurudisha matukano; alipoteswa, hakutisha; bali alijikabidhi kwake yeye ahukumuye kwa haki.

Veja também