10 Kwa maana,
Atakaye kupenda maisha,
Na kuona siku njema,
Auzuie ulimi wake usinene mabaya,
Na midomo yake isiseme uongo.
11 Na aache mabaya, atende mema;
Atafute amani, aifuate sana.
10 Kwa maana,
Atakaye kupenda maisha,
Na kuona siku njema,
Auzuie ulimi wake usinene mabaya,
Na midomo yake isiseme uongo.
11 Na aache mabaya, atende mema;
Atafute amani, aifuate sana.