Pular para o conteúdo
Publicidade

1 Reis 17

Eliya atabiri ukame

1 Lk 1:17;4:25;2 Fal 3:14;Kum 10:8;Yak 5:17Basi Eliya Mtishbi, wa wageni wa Gileadi, akamwambia Ahabu, Kama BWANA, Mungu wa Israeli, aishivyo, ambaye ninasimama mbele zake, hakutakuwa na umande wala mvua miaka hii, ila kwa neno langu.

Veja também