45 2 Sam 22:33,35;2 Nya 32:8;Zab 124:8;125:1;Mit 18:10;2 Kor 10:4;Flp 4:13;Ebr 11:33,34Ndipo Daudi akamwambia yule Mfilisti, Wewe unanijia mimi na upanga, na fumo, na mkuki, bali mimi ninakujia wewe kwa jina la BWANA wa majeshi, Mungu wa majeshi ya Israeli uliowatukana.