Onyo juu ya waalimu waongo
3 Mdo 20:1Kama vile nilivyokusihi ukae Efeso, nilipokuwa nikisafiri kwenda Makedonia, ili uwakataze wengine wasifundishe elimu nyingine; 4 1 Tim 4:7wala wasiangalie hadithi na nasaba zisizo na kikomo, zinazozua maswali wala si mpango1:4 ‘Mpango’ katika Kigiriki ni ‘uwakili’. wa Mungu ulio katika imani; basi uwaambie hivyo.