Maagizo kuhusu maombi
1 Flp 4:6Basi, kabla ya mambo yote, nataka dua, na sala, na maombezi, na shukrani, zifanyike kwa ajili ya watu wote; 2 kwa ajili ya wafalme na wote wenye mamlaka, tuishi maisha ya utulivu na amani, katika utauwa wote na ustahivu. 3 1 Tim 1:1;4:10Hili ni zuri, nalo lakubalika mbele za Mungu Mwokozi wetu;