6 Akatoka wakati ule ule mfalme Yoramu katika Samaria, akawahesabu Israeli wote. 7 1 Fal 22:4Akaenda akatuma kwa Yehoshafati mfalme wa Yuda, akasema, Mfalme wa Moabu ameniasi; je! Utakwenda pamoja nami tupigane na Moabu? Akasema, Nitakwenda; mimi ni kama wewe, watu wangu ni kama watu wako, farasi wangu ni kama farasi wako.
Publicidade