5 Maana mawimbi ya mauti yalinizunguka,
Mafuriko ya uovu yakanitia hofu.
6 Kamba za kuzimu zilinizunguka;
Mitego ya mauti ikanikabili.
7 Zab 116:4;Yon 2:2;Kut 3:7Katika shida yangu nilimwita BWANA,
Naam, nikamlalamikia Mungu wangu;
Naye akaisikia sauti yangu hekaluni mwake,
Kilio changu kikaingia masikioni mwake.