3 Maana utakuja wakati watakapoyakataa mafundisho yenye uzima; ila kwa kuzifuata nia zao wenyewe watajikusanyia waalimu wengi, watakaowaambia yale tu masikio yao yanataka kusikia; 4 nao watajiepusha wasisikie yaliyo kweli, na kuzigeukia hadithi za uongo.
Publicidade
Publicidade