Pular para o conteúdo
Publicidade

Apocalipse 1

17 Isa 44:6;48:12;Ufu 2:8;22:13;Dan 8:18;10:15-19Nami nilipomwona, nilianguka miguuni pake kama mtu aliyekufa. Akaweka mkono wake wa kulia juu yangu, akisema, Usiogope, Mimi ni wa kwanza na wa mwisho, 18 na aliye hai; nami nilikuwa nimekufa, na tazama, ni hai hata milele na milele. Nami ninazo funguo za mauti, na za kuzimu.

Veja também