5 Isa 55:4;40:2;Zab 89:27,37;130:8;Yn 18:37;Kol 1:18;Ebr 9:14;Ufu 3:14;7:14;19:16tena zitokazo kwa Yesu Kristo, shahidi aliye mwaminifu, mzaliwa wa kwanza wa waliokufa, na mkuu wa wafalme wa dunia. Yeye atupendaye na kutuosha dhambi zetu katika damu yake, 6 Kut 19:6;Ufu 5:10;1 Pet 2:5,9;Isa 61:6na kutufanya kuwa ufalme, na makuhani kwa Mungu, naye ni Baba yake; utukufu na ukuu una Yeye hata milele na milele. Amina.