19 Ufu 4:5;8:5;15:5;16:18,21;1 Fal 8:1,6;2 Nya 5:7;Kut 9:24;19:16Kisha hekalu la Mungu lililoko mbinguni likafunguliwa, na sanduku la Agano lake likaonekana ndani ya hekalu lake. Kukawa na umeme, na sauti, na radi, na tetemeko la nchi, na mvua kubwa ya mawe.
Publicidade