Pular para o conteúdo
Publicidade

Apocalipse 12

9 Mwa 3:1,14;Lk 10:18;Yn 12:31;Zek 3:1,2Lile joka kuu likatupwa, yule nyoka wa zamani, aitwaye Ibilisi na Shetani, audanganyaye ulimwengu wote; akatupwa hata nchi, na malaika wake wakatupwa pamoja naye. 10 Ayu 1:9-11;Zek 3:1;Ufu 11:15;Lk 22:31Nikasikia sauti kuu mbinguni, ikisema, Sasa kumekuwa wokovu, na nguvu, na ufalme wa Mungu wetu, na mamlaka ya Kristo wake; kwa maana ametupwa chini mshitaki wa ndugu zetu, yeye awashitakiye mbele za Mungu wetu, mchana na usiku.

Veja também