Pular para o conteúdo
Publicidade

Apocalipse 16

13 Ufu 12:9;13:1,11;Kut 8:3;1 Fal 22:21-23Nikaona roho tatu za uchafu zilizofanana na vyura, zikitoka katika kinywa cha lile joka, na katika kinywa cha yule mnyama, na katika kinywa cha yule nabii wa uongo. 14 Ufu 13:13;19:19Hizo ndizo roho za mashetani, zifanyazo ishara, zitokazo na kuwaendea wafalme wa ulimwengu wote kuwakusanya kwa vita ya siku ile kuu ya Mungu Mwenyezi.

Veja também