Pular para o conteúdo
Publicidade

Ufunuo 3

11 Ufu 1:3;2:5,10Naja upesi. Shika sana ulicho nacho, asije mtu akaitwaa taji yako. 12 Ufu 21:2;14:1;22:4;Eze 48:35;Gal 2:9;Isa 62:2;65:15Yeye ashindaye, nitamfanya kuwa nguzo katika hekalu la Mungu wangu, wala hatatoka humo tena kabisa, nami nitaandika juu yake jina la Mungu wangu, na jina la mji wa Mungu wangu, huo Yerusalemu mpya, ushukao kutoka mbinguni kwa Mungu wangu, na jina langu mwenyewe, lile jipya.

Estes versículos te tocaram? Ore agora!

+581 estão orando agora.

Junte-se à corrente de oração.

Veja também