Pular para o conteúdo
Publicidade

Ufunuo 5

Kitabu na Mwana-kondoo

1 Eze 2:9-10;Isa 6:1;29:11;Zab 47:8;Ufu 4:2Kisha nikaona katika mkono wa kulia wake yeye aliyeketi juu ya kile kiti cha enzi kitabu kilichoandikwa ndani na nyuma, kimetiwa mihuri saba. 2 Nikaona malaika mwenye nguvu akihubiri kwa sauti kuu, Ni nani anayestahili kukifungua kitabu, na kuivunja mihuri yake?

Estes versículos te tocaram? Ore agora!

+581 estão orando agora.

Junte-se à corrente de oração.

Veja também