Publicidade

Apocalipse 7

16 Hawataona njaa tena, wala hawataona kiu tena, wala jua halitawapiga, wala joto iliyo yote. 17 Kwa maana huyo Mwana-kondoo, aliye katikati ya kiti cha enzi, atawachunga, naye atawaongoza kwenye chemchemi za maji yenye uhai, na Mungu atayafuta machozi yote katika macho yao.

Veja também

Publicidade
Bíblia Online Bíblia Online

Bíblia Online • Versão: 2026-06-29_22-07-56-