Publicidade

Atos 20

35 Katika mambo yote nimewaonesha ya kuwa kwa kushika kazi hivi imewapasa kuwasaidia wanyonge, na kuyakumbuka maneno ya Bwana Yesu, jinsi alivyosema mwenyewe, Ni heri kutoa kuliko kupokea.

36 Mdo 21:5Alipokwisha kunena haya akapiga magoti, akaomba pamoja nao wote. 37 Mdo 21:6;Rum 16:16;1 Pet 5:14Wakalia sana wote, wakamwangukia Paulo shingoni, wakambusubusu, 38 Mdo 20:25wakihuzunika zaidi kwa sababu ya neno lile alilosema, ya kwamba hawatamwona uso tena. Wakamsindikiza hata merikebuni.

Veja também

Bíblia Online Bíblia Online

Bíblia Online • Versão: 2026-07-05_19-25-13-