Pular para o conteúdo
Publicidade

Colossenses 3

12 Efe 4:2,32;5:2;1 Pet 2:9Basi, kwa kuwa mmekuwa wateule wa Mungu, watakatifu wapendwao, jivikeni moyo wa rehema, utu wema, unyenyekevu, upole, uvumilivu, 13 Efe 4:32;5:2;Mt 6:14mkichukuliana, na kusameheana, mtu akiwa na sababu ya kumlaumu mwenzake; kama Bwana alivyowasamehe ninyi, vivyo na ninyi.

Veja também

Colossenses
Ver todos os capítulos de Colossenses