12 Efe 4:2,32;5:2;1 Pet 2:9Basi, kwa kuwa mmekuwa wateule wa Mungu, watakatifu wapendwao, jivikeni moyo wa rehema, utu wema, unyenyekevu, upole, uvumilivu, 13 Efe 4:32;5:2;Mt 6:14mkichukuliana, na kusameheana, mtu akiwa na sababu ya kumlaumu mwenzake; kama Bwana alivyowasamehe ninyi, vivyo na ninyi. 14 Rum 13:8,10;Efe 4:3Zaidi ya hayo yote jivikeni upendo, ndio kifungo cha ukamilifu. 15 Efe 4:4;Flp 4:7;1 Kor 12:13,27Na amani ya Kristo iamue mioyoni mwenu; ndiyo mliyoitiwa katika mwili mmoja; tena iweni watu wa shukrani.