Pular para o conteúdo
Publicidade

Daniel 6

Danieli katika tundu la simba

10 Mt 10:32;Yon 2:4;Zab 5:7;55:17;95:6;1 Fal 18:36;Lk 22:41;Mdo 2:1,2,15;1 The 5:17,18Hata Danieli, alipojua ya kuwa yale maandiko yamekwisha kutiwa sahihi, akaingia nyumbani mwake, (na madirisha katika chumba chake yalikuwa yamefunguliwa kuelekea Yerusalemu;) akapiga magoti mara tatu kila siku, akasali, akashukuru mbele za Mungu wake, kama alivyokuwa akifanya tokea hapo.

Veja também