13 Isa 9:6,7;Eze 1:26;Mt 24:30;26:64;Mk 13:26;14:62;Lk 21:27;Ufu 1:7,13;14:14Nikaona katika njozi za usiku, na tazama, mmoja aliye mfano wa mwanadamu akaja pamoja na mawingu ya mbingu akamkaribia huyo mzee wa siku, wakamleta karibu naye. 14 Zab 2:6;110:1;Mt 11:27;Yn 3:35;Isa 9:7;Oba 1:21;Mik 4:7;Lk 1:33;Ebr 12:28;Ufu 11:15Naye akapewa mamlaka, na utukufu, na ufalme, ili watu wa kabila zote, na taifa zote, na lugha zote, wamtumikie; mamlaka yake ni mamlaka ya milele, ambayo hayatapita kamwe, na ufalme wake ni ufalme usioweza kuangamizwa.