8 Efe 2:11,13;Lk 16:8;1 Pet 2:9;Yn 12:36Kwa maana zamani ninyi mlikuwa giza, bali sasa mmekuwa nuru katika Bwana; nendeni kama watoto wa nuru, 9 kwa kuwa tunda la nuru ni katika wema wote na haki na kweli; 10 Rum 12:2mkihakiki ni nini impendezayo Bwana.
Publicidade