Publicidade

Filipenses 2

Kuangaza kama mianga ulimwenguni

12 1 Pet 1:17;Zab 2:11Basi, wapendwa wangu, kama vile mlivyotii sikuzote, si wakati mimi nilipokuwapo tu, bali sasa zaidi sana mimi nisipokuwapo, utimizeni wokovu wenu wenyewe kwa kuogopa na kutetemeka. 13 Yn 15:5;2 Kor 3:5;1 The 2:13Kwa maana ndiye Mungu atendaye kazi ndani yenu, kutaka kwenu na kutenda kwenu, kwa kulitimiza kusudi lake jema.

14 1 Pet 4:9Yatendeni mambo yote pasipo manung’uniko wala mashindano, 15 Kum 32:5;Mt 5:14;10:16;Flp 1:10;Efe 5:8;Kum 32:5;Mdo 2:40mpate kuwa wana wa Mungu wasio na lawama, wala udanganyifu, wasio na ila kati ya kizazi chenye ukaidi, kilichopotoka; ambao kati ya hao mnaonekana kuwa kama mianga katika ulimwengu, 16 1 The 2:19;Gal 2:2;Isa 49:4;65:23mkishika neno la uzima; nipate sababu ya kuona fahari katika siku ya Kristo, ya kuwa sikupiga mbio bure wala sikujitaabisha bure.

Veja também

Filipenses
Ver todos os capítulos de Filipenses
Bíblia Online Bíblia Online

Bíblia Online • Versão: 2026-07-05_19-25-13-