Pular para o conteúdo
Publicidade

Filipenses 3

13 Ndugu, sijidhanii nafsi yangu kwamba nimekwisha kushika; ila natenda neno moja tu; nikiyasahau yaliyo nyuma, nikiyachuchumilia yaliyo mbele; 14 1 Kor 9:24nakaza mwendo, niifikie tuzo la thawabu ya mwito mkuu wa Mungu katika Kristo Yesu.

Veja também

Filipenses
Ver todos os capítulos de Filipenses