Pular para o conteúdo
Publicidade

Filipenses 3

20 Efe 2:6;Kol 3:1;Ebr 12:22Kwa maana sisi, wenyeji wetu uko mbinguni; kutoka huko tena tunamtazamia Mwokozi, Bwana Yesu Kristo; 21 1 Kor 15:43,49,53atakayeubadili mwili wetu wa unyonge, upate kufanana na mwili wake wa utukufu, kwa uweza ule ambao kwa huo aweza hata kuvitiisha vitu vyote viwe chini yake.

Veja também

Filipenses
Ver todos os capítulos de Filipenses