21 Efe 5:5;Ufu 22:15husuda, ulevi, ulafi, na mambo yanayofanana na hayo, katika hayo nawaambia mapema, kama nilivyokwisha kuwaambia, ya kwamba watu watendao mambo ya jinsi hiyo hawataurithi ufalme wa Mungu.
23 1 Tim 1:9upole, kiasi; juu ya mambo kama hayo hakuna sheria.