Chukulianeni mizigo
1 Mt 18:15;Yak 5:19Ndugu zangu, mtu akishikwa katika kosa lolote, ninyi mlio wa Roho mrejesheni upya mtu kama huyo kwa roho ya upole, ukijiangalia nafsi yako usije ukajaribiwa wewe mwenyewe. 2 Mchukuliane mizigo na hivyo kuitimiza sheria ya Kristo.