17 Mwa 20:18;1 Nya 16:21;Zab 105:14;Ebr 13:4Lakini BWANA akampiga Farao na nyumba yake mapigo makuu, kwa ajili ya Sarai, mkewe Abramu. 18 Mwa 20:9;26:10;Mit 21:1Ndipo Farao akamwita Abramu, akasema, Ni nini hili ulilonitenda? Mbona hukuniambia ya kuwa huyo ni mkeo?